Sunday, May 12, 2013

UZINDUZI WA RISASI KIDOLE WAFANA BUSINESS PARK!!

Naam, hatimaye naye Charlz baba ameingia rasmi katika kundi la marais wa bendi za dansi hapa bongo akiliongoza barabara kundi la mashujaa musica! hapa ni katika uzinduzi wa album ya mashujaa rais wa FM ACADEMIA  nyoshi el sadat akimvisha medali charlz baba! unaambiwa business park ilipendeza kwa show tam na kali toka kwa bendi kali. hongera charls baba kuiongoza vema mashujaa kuonesha ushujaa na kizindua album yenu ya risasi kidole.

No comments: