Wednesday, June 5, 2013

FERE GOLA KUITAMBULISHA `BOITE NOIRE` KINSHASA!!


Sasa imethibitika rasmi kuwa kabla ya mwisho wa mwezi wa sita nguli mwingine toka congo FERE GOLA nae ataipakua album yake ya tatu tangu awe mwanamuziki wa kujitegemea, akifafanua kiongozi wa bendi hiyo ya jet set inayomilikiwa na ferre  amesema album hyo inakwenda kwa jina la `boite noire` ikimaanisha kasha jeusi imetayarishwa chini ya kampuni ya diego music chini ufaransa.ferre anatarajiwa kinshasa wakati wowote toka sasa kwa ajili ya uzinduzi wakati kiongozi wa bendi yake vasco mabiala yeye anasimamia zoezi la uzalishji wa cd na dvd za album hiyo. haya kama kawa wapenzi wa rhumba tuusubirie mzigo huo wa ferre gola a.k.a shetani!!!! papa mikongoti upooooo

No comments: