Sunday, October 13, 2013

BEBE COOL AMKERA MBUNGE BETTY NAMBOOZE UGANDA!

Mwanamuziki wa uganda bebe cool amejikuta kwenye wakati mgumu kama jaji wa onesho la kusaka vipaji kwenye runinga ya NTV baada ya mbunge wa mukoro kaskazini BETTY NAMBOOZE kumbwatukia kwenye mtandao kwa madai kuwa amekuwa jaji mbaya na hawapi vijana nafasi ya kuonesha vipaji vyao na anatumia maneno makali mno ya kuwakatisha tamaa watoto hao ambao wanajitahidi kutaka kutoka kimaisha kupitia muziki.

No comments: