Saturday, April 19, 2014

RADIO NA WEASEL HAOO TUZO ZA BET!!

The Dybamic duo Weasel and Radio had previously been nominated for the 2013 BET Awards
Kwa mara nyingine tena wasanii toka uganda Weasel na Radio  wameinua bendera ya nchi yao juu kwa kupendekezwa katika katika tuzo za  BET, wimbo uliowaingiza kwenye mtanange huo ni kiboko changu katika kundi la wimbo bora wa kushirikishwa ambao wamemshirikisha msanii amani toka kenya.
Kiboko Changu song  utashindana na nyimbo zingine kali kama  Number One wa  Diamond na Davido, Happiness wa Mafikizolo na  May D, Slow Down wa  R2bees na Wizkid na Y-tjukutja wa Uhuru alomshirikisha DJ Buckz, Oskido, Professor na Yuri Da Cunha

1 comment:

Anonymous said...

constantly i used to read smaller articles or reviews
which also clear their motive, and that is also happening with this article which I
am reading at this place.

Feel free to visit my web page :: diet tips and fitness goals