Wednesday, July 10, 2019

ALLY CHOKI BADO AIOTA EXTRA BONGO!!

Mwanamuziki nguli wa dansi nchini ALLY CHOKI bado anaiota bendi yake ya EXTRA BONGO na ameapa kuirejesha tena mapema mwakani. choki kwa sasa yuko jijini mwanza akifanya kazi na bendi ya super kamanyola kwa mkataba wa miezi sita. baki hapa hapa VIVANI kwa mastori matamu ya muziki wa dansi.

No comments: