Tuesday, May 12, 2009

NI ZAMU YA CELEO SCRAM!

Kava la album ya celeo scram, NZOTO na NZOTO maana yake mwili na mwili
Baada Fally ipupa na Fere golla kutesa vya kutosha ulaya sasa ni zamu ya mtanashati CELEO SCRAM kuwasumbua wapenda burudani kwa masebene na sindano za ukweli, kesho may 13 jamaa anatua nchini uturuki pale instambul kwa show kali ya mwaliko maalum wa jumuiya ya wakongomani waishio nchini humo, haya sasa DANNY MANJIWA upoooo!


No comments: