
Hebu wacheki watoto wa Asha Baraka, vijana wa Elystone Angai walivyonoga pamba! ukweli nikuwa watu wanakubali kazi yenu, ila hofu ni kuwa mtakaakweli au ndo zuga tumanake historia ilianzia chumvichumvi,ikaja tamtam, halafu dikodiko kisha chipolopolo na sasa mzigo uko mikononi mwenu, kazi mnayo vijana.
No comments:
Post a Comment