Friday, July 17, 2009

JOSKY AMLILIA TABU LEY

katika mahojiano na vyombo vya habari mzee josky kiambukuta amechukizwa na uvumi uliozagaa kuwa swahiba wake pascal tabu ley rochereau amefariki dunia, joscky amesema tabu ley ni nembo ya muziki wakongo kwa nini mtu afurahie mabaya kwake?
"sikia muziki wake, alikua mahiri toka kichwa hadi vidoleni"
mzee tabu ley akiwa jukwaani huku shabiki wake akisalimu amri kwa mzee huyu.

wakati huo huo mtoto wa mzee tabu ley ambaye ni mwanamuziki wa muziki wa r & b aishiye ubelgiji PEGGY TABU ameamua kuzirudia nyimbo za baba yake katika album atakayooiita PEGGY TABU,

tabu ley rocherau alipata mshtuko wa moyo na tangu wakati huo hali yake haijatengamaa, na bado anapata matibabu nchini ubelgiji katika clinic ya seint michael

No comments: