vijana walioitumikia kwa mafanikio makubwa "Quartier Latin Internationale" ya KOFFI OLOMIDE, soleil wanga, fally ipupa, na ferre gola ambao wote sasa wanafanya kazi kama wasanii wa kujitegemea na tayari album zao ziko sokoni. haya wadau pedeshee ndama, papaa musofe"chuma cha reli", big producer maghambo, abdull tall, bila kumsahau pius mikongoti nipeni data nani mkali hapa.
Wednesday, October 28, 2009
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
6 comments:
Haya mkuu, tunashukuru kwa taarifa hii. Watu wanesenese sasa
duh... kweli maisha yanaanza mbali sana kiukweli hii ni hatua nzuri sana kwa upande wao kutoka kwenye mikono ya mtu mpaka kufanya kazi wenyewe si jambo dogo.
duh... kweli maisha yanaanza mbali sana kiukweli hii ni hatua nzuri sana kwa upande wao kutoka kwenye mikono ya mtu mpaka kufanya kazi wenyewe si jambo dogo.
mwanzo nilikuwa nazanimziki wa dansi hauwezi ukafanya ukiwa solo artist ila kupitia hawa jamaa nimeaamini inawezekana,,..
Katika hawa mimi nazimia zaidi kazi za Fally
EEEE h bwana mutu ya kongo iko inatisha sana....,,!!!!ila hapa fally ipupa ni mkali ile mbaya.
Post a Comment