ni uroda wa aia yake december hii ndani ya uwanja wa samora, picha hii ni show ya MTIKISIKO mwaka jana na sasa ni tarehe 6 december, na show ina mabadiliko makubwa, so wadau niko bize kidogo na maandalizi hivyo ntakuwa nikija kuwasalimu na kuwapa maendeleo ya uroda wa december, msijali.
Thursday, November 19, 2009
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
3 comments:
viva afrika! safi sana na usiwe unakawia kuja kutusalimu.
Haya bwana, kazi ipo mwezi ujao
kumbe iringa kuna uroda bwerere
Post a Comment