Thursday, April 18, 2013

BURIANI FATMA BINT BARAKA (Bi Kidude)

 Nembo ya ukweli ya muziki wa taarabu inayotambulisha tanzania, bendera iliyopepea kwa zaidi ya karne moja bila kupoteza thamani yake, kinywa kisichokauka maneno na tungo zitakazodumu daima! buriani Fatma bint Baraka almaarufu kama bi kidude!

No comments: