Thursday, May 23, 2013

KOFFIE OLOMIDE AIBWATUKIA TENA SERIKALI YA CONGO!!

wanamwita quadra koraman, ambaye ametoa dukuduku lake la moyoni kwa seikali yake akiwakilisha wasaii wengine wengi wa congo ambao huvuna pesa nyngi katika ziara zao nje ya congo, koffie anasema kwanza wanalazimika kulipa kodi nyingi wanapotaka kusafiri nje ikiwemo na kulipia vibali katika uwanja wa ndege wa Ndjili, kodi hizo zamnufaisha nani? alihoji mopao! pia aliitaka serikali iwasaidie wanamuziki wa congo kujenga studio ya kisasa ya kuzalisha muziki wao ili kuwaepusha na gharama za kwenda ulaya kwa ajili ya kazi hiyo kitu kinachowagharimu mno, koffie alikuwa akizugumza katika kipindi cha `info 7` kilichorushwa moja kwa moja na congoweb TV wakitangaza kutoka kinshasa ambapo pia koffie alitangaza nia yake kujitupa kwenye siasa.

No comments: