Saturday, May 4, 2013

NANI KASEMA BANZA KAISHA!!

 Ramadhani masanja al maarufu kama banza stone akiwajibika jukwaani kumpa sapoti rapa kaba tano kuonesha bado anadai
na utamu wa muziki kama hivi totoo ze bingwa na mtu mzima banza stone wanapokukutana jukwaa moja

No comments: