Sunday, May 5, 2013

ULIMBWENDE, MUZIKI HADI FILAMU!!

maji hufuata mkondo ila mkondo huu si mchezo, binti kajaaliwa vipaji lukuki nae anavitendea haki, toka ulimbwende, muziki hadi filamu TABIA BATAMWANYA anadhihirisha kuwa yeye si bahati mbaya kuzaliwa kwenye familia ya sanaa.kwa sasa anakimbiza na wakali wengine katika bendi ya k mondo sound chini ya mtaalam richard mangustino, sasa fuata nyuki ule asali.

No comments: