Saturday, October 12, 2013

NI JB MPIANA ZENITH TENA!

Hatimaye ule utata wa kama onyesho litafanyika umetatuliwa na waandaaji wa onyesho hilo huku Taasisi ya uendelezaji utamaduni na wamiliki wa ukumbi maarufu wa Zenith wamethibitisha onyesho hilo kwa kuweka tangazo la onyesho hilo linalotazamiwa kufanyika Dec 21.
JB Mpiana alikuwa nchini Ufaransa mwezi September na inasemwa kwenye ndege walikuwa na hasimu wake Werasson Ngiama Makanda ambaye pia amesaini kupiga onyesho kwenye ukumbi huo huo bado tarehe haijapangwa.
Swali linabaki je onyesho litafanyika bila fujo au kipingamizi kutoka kwa Bana Congo???

1 comment:

lnwslot789 said...

ดูหนังออนไลน์ กับหนังออนไลน์ที่คมชัดเต็มระบบงทั้ง 4K HD สนุกง่ายๆ กับ Troop Zero (2019) [ บรรยายไทย ]