Kwa mara nyingine tena wasanii toka uganda Weasel na Radio wameinua bendera ya nchi yao juu kwa kupendekezwa katika katika tuzo za BET, wimbo uliowaingiza kwenye mtanange huo ni kiboko changu katika kundi la wimbo bora wa kushirikishwa ambao wamemshirikisha msanii amani toka kenya.
Kiboko Changu song utashindana na nyimbo zingine kali kama
Number One wa Diamond na Davido,
Happiness wa Mafikizolo na May D,
Slow Down wa R2bees na Wizkid na
Y-tjukutja wa Uhuru alomshirikisha DJ Buckz, Oskido, Professor na Yuri Da Cunha
1 comment:
constantly i used to read smaller articles or reviews
which also clear their motive, and that is also happening with this article which I
am reading at this place.
Feel free to visit my web page :: diet tips and fitness goals
Post a Comment