Mpiga tumba mahiri wa african stars twanga pepeta mohamed soud almaarufu kama MCD akizichapa ngoma hizo bila huruma, aliwahi kunambia anaamini yeye ndo bora tanzania nzima na kama kuna anayebisha ajitokeze, wewe mdau wa viva waonaje?
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment