Monday, May 11, 2009

MSAADA TUTANI WADAU!


Marapa wa twanga pepeta msafiri diouf na khalid chokoraa wakiwajibika jukwaani, sasa wadau hebu leteni maoni yenu hapa nani anamfunika mwenzake.

1 comment:

Anonymous said...

Kaka Agape tunaomba umwambie Msafiri Diof ajifunze kutoka kwa Banza,cheki hapo tu anaonekana tayari keshabwia,fala kweli huyu jamaa......