Wednesday, May 13, 2009

MJOMBA AULA UFARANSA

mshairi maarufu aliejizolea sifa bambam kwa mbwembwe zake MRISHO MPOTO ameula nchini nchini ufaransa katika mashindano ya world slum championship yatayofanyika mwezi ujao, na kitakachojiri huko kama kawa viva afrika tuko mbele kama tai.

1 comment:

Anonymous said...

Nakukubali mjomba,nakukubalu,kula mashavu hayo...