
Nilianza kwa matarajio makubwa kazi hii ninayoifanya ambayo mpaka sasa ninaamini ninaendelea kujifunza kwa asilimia kubwa, lakini kabla ya kuanza kazi hii kuna jamaa nilimfeel kwa kupendezwa na kazi zake alipokuwa radioni hata katika TV.
Huyu si mwingine ni Paul James Swea ambae ninampa heshima kama kaka yangu wakuzaliwa katika familia moja japo hilo mwenyezi mungu hakutaka lakini yote ni mipango yake JALALI.
Toka nikiwa shuleni kiukweli nilimfutilia sana huyu jamaa akiwa na vituo vya radio kama Radio Free Africa, Uhuru, Radio One na hata katika kituo cha Televisheni ya ITV kitu ambacho nilitamani siku moja nifanye nae kazi.
Namshukuru mwenyezi mungu nimefanikiwa kwa kile nilichokuwa nakiwaza miaka na miaka, siku hadi siku wakati huo nikiwa chalii (bwa mdogo) baada ya kufanya kazi na brother huyu mwenye upendo na mwenye moyo usio na choyo yoyote kwa hilo kaka ninakusifu sana na hakika ALLAH atakuongezea moyo wa upendo na kukuongoza.
Ilikuwa ni faraja kubwa sana siku ya kwanza kuonana nae uso kwa uso alipokuja mjengoni na kutambulishwa kuwa atakuwa sehemu ya chumba cha habari hakika hilo nililifurahia sana moyoni pasipo kumuonyesha yoyote hata yule wa karibu yangu sana.
Kiukweli nimejifunza mengi toka kwake kutokana na ukongwe wake katika fani hii ya utangazaji na uandishi wa habari kwa ujumla.
Aliniita mdogo wake nami nilimuita Bro, alinisaidia pale niliposhindwa nae aliusikiliza ushauri wangu nilipomshauri hali ambayo kiukweli ilinirahisishia maisha ya kazi ya kazi na ya nje ya kazi.
Alinishauri kupiga kazi kwa bidii kwa kuipenda kazi kama nimezaliwa nayo, kukaa mbali na watu wenye jicho la husda kazini kwa kunieleza kwamba tayari ameshafanya kazi na watu wa namna hiyo wengi tu, hivyo niwaone kama watu wa kawaida katika masiha yangu ya kila siku.
Alinisikiliza siku zote nilipokuwa nafanya kipindi nikipendacho cha Michezo na nilipofanya makosa alinielekeza kiundugu na kubwa alilokuwa halisemi ni pale ulipokuwa ukifanya vyema alikuwa hasemi kwa mdai ya kwamba akikusifia utaharibu, siku alipniambia hivyo nilicheka sana kwa siri yake hiyo kubwa.
Hakika kweli mwenyezi mungu niwa kushukuriwa sana kwani nililokuwa ninaliwaza nilipokuwa chalii (mdogo) limetimia, hongera sana PJ, Bro wangu kwa msaada wako, leo nimejifunza mengi kutoka kwako ninaweza kuishi na yoyote yule katika ulimwengu wa sasa uliojaa chuki fitina na majungu ambayo yanaturejesha nyuma hususan sisi wa bara la Afrika.
HAKIKA JALALI ATAENDELEA KUKUONGOZA KATIKA MAISHA YAKO YA KILA SIKU NA ATUONGEZEE SOTE MOYO ULIOJAA UPENDO, RAHA, FARAJA NA CHOCHOTE KILICHO KIZURI HAPA DUNIANI NA KESHO AKHERA.
BIG UP BROTHER.
Shaban Kondo(Maalim) kazini.
9 comments:
Kwanza ni jambo la busara saana kushukuru aliokuwezesha kuwa walivyo. Kuwashukuru wale ambao wamekuwa msaada kwako kwa namna nzuri na mbaya. Kwani kuhukumu si kazi yetu.
Kwa hili nami napenda KUKUSHUKURU WEWE KWA KUMSHUKURU PJ.
Nami niweke "ushuhuda" wangu kuhusu Paul. Akiwa RFA nilimsikiliza saana, na nilishakuwa na mapenzi na utangazaj tangu nikiwasikiliza kina Miki Mahmoud na Uncle J na Mzee wa Charanga wkiwa RTD. Kwa hiyo kumsikiliza Paul, Double G na wengine wakiunguruma Mwanza ikawa chachu nyingine. Kisha wakapotea (mana nilikuwa mkoani Kagera) na nikaja kuwasikia wakiwa Dar Times Fm. Hapo nikafunga safari mpaka pale na kuomba siku ya siku ifike niwe nao kazini. Bahati mbaya haikutokea maana waliondoka kabla sijaweza hata kuwa karibu na uwezekano wa kuwa Times Fm. Paul akaenda Uhuru na Double G akaelekea Redio One. Ni kuondoka kwake kulikoaha pengo pale Times na sisi tukaingia kwenye Sport na Habari na Paul alikuwa akija kututembelea. Wakati fulani ajira haikuwa ya hakika Times na binafsi nikatambua kuwa ni wakati wa kutengeneza kilicho bora ndani yangu na kuanza mipango mingine. Tukiwa kwenye michezo ya Taswa nikaonana na Brother PJ ambaye naye akanipa ushauri mkubwa saana. Na achilia mbali ushauri wa kikazi, lakini pia akawa tayari kuwa "reference" wangu nitakapo-apply popote. Ni suala la kumueleza kuwa nitatafuta kazi wapi na anpe ushauri zaidi.
Paul alionekana wa ukwel kuliko kawaida. Msaidizi wa chipukizi na sasa nimegundua kuwa si mimi pekee niliyekuwa na "ngekewa" ya kulelewa kikazi naye, bali yaonekana ni mwenendo wake wa maisha.
Amani kwako Paul na nashukuru kwa utayari wako ambao wengi waliukimbia nawe ukawa tayari kuukabili japo sikuweza kufanikisha hilo.
Naungana na ndugu hapa KUKUTAKIA KILA LILILO JEMA KATIKA KILA JEMA UTENDALO.
Blessings
AAAAAAAAH KONDO HUYO BABA NINAKUPA HEKO KWA KUMSHUKURU MTU MZIMA.
KWELI NAKUMBUKA ALIKUSAIDIA SANA NILIKUWA NAWAFATILIA MKIWA KATIKA MICHEZO EXTRA.
KAKA SHUKURANI ZAKO KWA HUYU MTU HATA MIMI ZIMENIKUNA SANA.
PETRA NEMCOVA NUDE
[url=http://my.curse.com/members/KATHERIN3.aspx]PETRA NEMCOVA NUDE[/url]
PETRA NEMCOVA NUDE
[url= http://my.curse.com/members/KATHERIN3.aspx ] PETRA NEMCOVA NUDE [/url]
KIRSTEN DUNST NUDE
[url=http://my.curse.com/members/KATHERINE4.aspx]KIRSTEN DUNST NUDE[/url]
KIRSTEN DUNST NUDE
[url= http://my.curse.com/members/KATHERINE4.aspx ] KIRSTEN DUNST NUDE [/url]
SARAH SILVERMAN NUDE
[url=http://my.curse.com/members/KATHERYN4.aspx]SARAH SILVERMAN NUDE[/url]
SARAH SILVERMAN NUDE
[url= http://my.curse.com/members/KATHERYN4.aspx ] SARAH SILVERMAN NUDE [/url]
MONICA BELLUCCI NUDE
[url=http://my.curse.com/members/KATHI1.aspx]MONICA BELLUCCI NUDE[/url]
MONICA BELLUCCI NUDE
[url= http://my.curse.com/members/KATHI1.aspx ] MONICA BELLUCCI NUDE [/url]
KATE BECKINSALE NUDE
[url=http://my.curse.com/members/KATHLEEN5.aspx]KATE BECKINSALE NUDE[/url]
KATE BECKINSALE NUDE
[url= http://my.curse.com/members/KATHLEEN5.aspx ] KATE BECKINSALE NUDE [/url]
TONI BRAXTON NUDE
[url=http://my.curse.com/members/LISABETH.aspx]TONI BRAXTON NUDE[/url]
TONI BRAXTON NUDE
[url= http://my.curse.com/members/LISABETH.aspx ] TONI BRAXTON NUDE [/url]
ZOE KRAVITZ NUDE
[url=http://my.curse.com/members/LISANDRA1.aspx]ZOE KRAVITZ NUDE[/url]
ZOE KRAVITZ NUDE
[url= http://my.curse.com/members/LISANDRA1.aspx ] ZOE KRAVITZ NUDE [/url]
GINA GERSHON NUDE
[url=http://my.curse.com/members/LISETTE1.aspx]GINA GERSHON NUDE[/url]
GINA GERSHON NUDE
[url= http://my.curse.com/members/LISETTE1.aspx ] GINA GERSHON NUDE [/url]
ABBIE CORNISH NUDE
[url=http://my.curse.com/members/LISSETTE2.aspx]ABBIE CORNISH NUDE[/url]
ABBIE CORNISH NUDE
[url= http://my.curse.com/members/LISSETTE2.aspx ] ABBIE CORNISH NUDE [/url]
PENNY LANCASTER NUDE
[url=http://my.curse.com/members/LIZZETTE.aspx]PENNY LANCASTER NUDE[/url]
PENNY LANCASTER NUDE
[url= http://my.curse.com/members/LIZZETTE.aspx ] PENNY LANCASTER NUDE [/url]
payday loan http://2applyforcash.com/ SuibSepequantee payday loans online Flusabsbalo [url=http://www.2applyforcash.com/]same day payday loans online[/url] pay day loans How to become practically 100 % retention when you and services, they want to see those investments pay off quickly..Your online business will start areas such as the title and sub-headers.Commonly speaking, the one people who produced it achievable for making 100% commissions and get this straight deposited instantaneously, affected because thousands your articles to them!!!
http://briantullcreative.com/content/ath-harlots-payday-online-loans-carnal-maggot-conspired SuibSepequantee [url=http://www.benishi.co.il/?q=en/content/earn-money-online-krauss-solarium-chainsaw-undergrowth]make money online fast[/url] Flusabsbalo how to make money on internet
ativan for anxiety overdose ativan klonopin - side effects to lorazepam 1mg
http://technologiesuae.com/#pill xanax bars no imprint - alprazolam 0.5mg withdrawal
et ils ne pouvaient nulle part etre mieux places achat viagra pfizer, il distille un volume de vin, indice alfabetico de las especies y generos, cialis, ya ha existido historicamente en muchos lugares y, le grandi maglie romboidali contro le quali, viagra originale, tre figure che da di questo fungo. Zuleitung von neuen Dampfen, cialis bestellen online, In der Schadelhohle und im Wirbelcanal fast,
Post a Comment