jarida la CANOE Quarterly katika toleo lake la september limemtunuku mkongwe mwenye historia iliyojaa vituko FELLA ANIKULAPO KUTI, katika tuzo walizoziita G.O.A.T { greatest of all time} katika list hiyo pia wapo marehem miriam makeba "mama afrika" , youssou N'dour, salif keita na kundi la hip hop la sauzi jozi.
Monday, September 7, 2009
KUTI FELLA MWANAMUZIKI BORA ZAIDI!
jarida la CANOE Quarterly katika toleo lake la september limemtunuku mkongwe mwenye historia iliyojaa vituko FELLA ANIKULAPO KUTI, katika tuzo walizoziita G.O.A.T { greatest of all time} katika list hiyo pia wapo marehem miriam makeba "mama afrika" , youssou N'dour, salif keita na kundi la hip hop la sauzi jozi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

1 comment:
Mmmmh kumbe mimi bado mtoto mdogo:-) sijawahi kumsikia mwanamuziki huyu. Ahsante kwa ujuzaji.
Post a Comment