baada ya kutambulisha album yake ya pili FALLY anazidi kupata mashavu, na sasa anaenda kwenye ukumbi wenye hadhi kubwa huko ufaransa, haya sasa wadau wa ughaibuni kijana hakauki huko mpeni tafu mwana wa afrika yu aja siku ya pili ya mwaka mpya.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

2 comments:
Poa, poa kabisa hakuna taabu. Ulikuwa umepotea kidogo viva afrika.
Umerejea nikapotea mie. Sasa nimerejea naamini upo. Au sio? Kama upo nami nipo basi tupo na kwa PAMOJA tutawakilisha.
Blessings
Post a Comment