Friday, March 5, 2010

NYOTA NDOGO ATIMIZA NDOTO ZA UTANGAZAJI!


mwishoni mwa mwaka jana msanii toka mombasa kenya alitarajia kuanza kazi yake mpya ya utangazaji lakini mambo yakaenda kombo,hivi sasa upepo unamwendea vema diva huyo kwani tangu jumatatu ya tar 1 march anaruka hewani katika kituo cha radio ya BARAKA FM, na mwenyewe anasema "ni ndoto iliyotimia naahidi sitawaangusha mashabiki wangu" huyo ndo nyota ndogo muziki hadi utangazaji.

No comments: