wajameni awali ya yote niombe radhi kuwa siku za hivi karibuni blogu yenu pendwa imekuwa na kwikwi mara kwa mara, hii ni kutokana na sababu zilizo nje kabisa ya uwezo wangu, lakini yote ni majaaliwa yake jalali, inshallah yatakwisha na hali itarejea kama hapo kabla, kwa sasa naomba niwasalimu tu kwani nagonjeka, afya imeleta mgogoro kidogo, tuvute subra nitarejea kumwaga uhondo kwenu wadau.
Saturday, March 27, 2010
NIMEWAMIS MNO NDUGU ZANGU!
wajameni awali ya yote niombe radhi kuwa siku za hivi karibuni blogu yenu pendwa imekuwa na kwikwi mara kwa mara, hii ni kutokana na sababu zilizo nje kabisa ya uwezo wangu, lakini yote ni majaaliwa yake jalali, inshallah yatakwisha na hali itarejea kama hapo kabla, kwa sasa naomba niwasalimu tu kwani nagonjeka, afya imeleta mgogoro kidogo, tuvute subra nitarejea kumwaga uhondo kwenu wadau.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
8 comments:
Umemisiwa pia na pole sana kwa kuumwa.
Pole Kaka.
Twakuombea ukae na uwe mwema kisha urejee.
Blessings
pole mdau...karibu tena tulisongeshe kaka!
POLE SANA AGAPE MISS U TOO BRO.
POLE...hola at yo girl hapa..U got my email....incase u ve lost It nichek angaliabongo@yahoo.com
Got something 4 u
Kwa ushauri wangu,Agape acha pombe,rekebisha maisha yako,utakuwa chzi sasa hivi
kaka vipi unagonjeka? tupeane taarifa jamani, vipi kwema?
Hata mie najiuliza upo wapi? vp ni mzima? au tupe habari ili tuwe na amani.
Post a Comment