Monday, March 1, 2010

TSHALA MUANA NA TUZO "SANTURI YA DHAHABU"


malkia wa mutuashi Tshala Muana anatarajiwa kutua jijini paris kukabithiwa tuzo ya "santuri ya dhahabu" (gold disc) baada ya mauzo album yake ya "sikila" kuuza zaidi ya nakala 140,000,malkia huyo wa mutuashi amealikwa na kampuni inayosimamia kazi yake ili akabidhiwe tuzo yake hiyo.

2 comments:

Yasinta Ngonyani said...

kaka , ka unajua kweli kupotea. Nafurahi umerudi na kuwa nasi.

MARKUS MPANGALA said...

haswaaaa inapendeza