Friday, April 26, 2013

KOCHA WA DUNIA JUKWAANI TENA!!

Prince muumin mwinjuma bado king`ang`a nizi kwenye libeneke la muziki wa dansi, baada ya safari ndefu sasa analiongoza kundi jipya la VICTORIA SOUND akiwa na majina mahiri kama waziri sonyo na damu changa pia! haya sasa wapenzi wa muziki wa dansi, na maneno ya vijembe ya muumini kazi kwenu.

No comments: