Friday, April 26, 2013

MIZUKA YA DANSI NA MBWEMBWE JUKWAANI!!

 Muzuki una mbwembwe jamani balaa, tazama wanenguaji wa bendi ya EXTRA BONGO next level wakiwa kazini huku wakicheza style ya kushika *chakula ya mtoto* unaambiwa hapa kazi tu.
Mkurugenzi wa bendi ya EXTRA BONGO next level kamarade ally choki nae hakuwa nyuma kumpagawisha na kumpa mizuka mpiga solo wake ephraim joshua ili mabo yaende muswano.

No comments: