Monday, May 11, 2009

HAKUNA KAZI RAHISI


Wanenguaji wa vibratoin sound wakifanya kile kinachowapa mshahara mwisho wa siku, ukweli ni kuwa lazima tuheshimu kazi ya hawa mabinti wanajituma ili sie wapenda burudani tuenjoy, haya sasa kazi kwenu wadau.

6 comments:

viva afrika said...

mungu wangu mkao gani huu, we agape we unatutega

Anonymous said...

ss ndo nn lkn agape!?tanzania bila ukimwi inawezekana!!..

Anonymous said...

kaka sio vizuri lakini ndio mambo gani haya mtu wangu???????????

Anonymous said...

kaka sio vizuri lakini ndio mambo gani haya mtu wangu???????????

Anonymous said...

mtumeeeeee

Anonymous said...

duh!!!!!huyu wa kulia mrefu sana kaka!!bora kdg wa kushoto lakini sio vizuri jamaniii!!!!