Ni kweli Kaka. Kuna taabu ya kudharau kazi za watu kwa kuwa hatupitii. Lakini kila kazi yaweza kuwa rahisi ama ngumu kulingana na umahiri na kujituma kwa mhusika. Huyu angeamua kusimama tuu lakini "mzuka" umemtuma kumaliza kila alichonacho kwenye fani. Good for him
1 comment:
Ni kweli Kaka. Kuna taabu ya kudharau kazi za watu kwa kuwa hatupitii. Lakini kila kazi yaweza kuwa rahisi ama ngumu kulingana na umahiri na kujituma kwa mhusika. Huyu angeamua kusimama tuu lakini "mzuka" umemtuma kumaliza kila alichonacho kwenye fani.
Good for him
Post a Comment