Monday, October 26, 2009

MWANA BARAZA MWINGINE HUYU HAPA!

ulimwengu wa teknohama unakua kila siku na hata katika ulimwengu wa tatu mwendo kasi unaongezeka pia, hapa mzee wa viva afrika nikila snepu na mdau agness anderson ambaye naye kagonga hodi kwenye ulimwengu wa kublogisha, karibu sana mdau, swali ni kwamba utashika bomba? manake safari ndefu hii! karibu barazani utupe utamu. mapate hapa http://www.kiduchu.blogspot.com/

6 comments:

Faith S Hilary said...

kweli hilo ndio swali kuu maana blog is not easy but its not impossible..

AGNESS ANDERSON said...
This comment has been removed by the author.
AGNESS ANDERSON said...

ni kweli kabisaa candy...lakini kwasababu napenda na ninania naamini sitawaangusha.

Christian Bwaya said...

Nimkaribishe mgeni kwa mikono miwili. Karibu 'mno'!

Mzee wa Changamoto said...

Ahaaaaaaaaaaa
Na akaribie sana Da Aggie. Asante kwako kwa UWEZESHAJI kwani mwenyewe "mgeni" asema bila wewe nisingekuwa na cha kutolea maoni hapa.
ASANTE KWAKO na TUENDELEZE UMOJA NA MSHIKAMANO HUU

Anonymous said...

Riesige Danke, wie ich Sie danken kann? viagra preisliste cialis kaufen online [url=http//t7-isis.org]viagra online[/url]