tume ya maadili inaposhangilia namna isiyofurahisha ya uchezaji kwa madensa wao, lakini hivi sasa congo uvaaji na staili ya uchezaji ni mjadala mkubwa, hapa kwetu basata waliwahi kutishia kuzifungia bendi za dansi ambazo wanenguaji wake wanavaa bila kuzingatia maadili, haya ngoja tuone nini kitafuata katika mjadala huu.
Tuesday, November 10, 2009
TUKUNYEMA MPAKA CHINI,,,,,,,,,,,,,,,,,,
tume ya maadili inaposhangilia namna isiyofurahisha ya uchezaji kwa madensa wao, lakini hivi sasa congo uvaaji na staili ya uchezaji ni mjadala mkubwa, hapa kwetu basata waliwahi kutishia kuzifungia bendi za dansi ambazo wanenguaji wake wanavaa bila kuzingatia maadili, haya ngoja tuone nini kitafuata katika mjadala huu.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

5 comments:
teh teh teh....sio mchezo kaka kweli hilo ni tukunyema,tukunyema.
hivi mie nadhani hapo madansa walipofika panatosha. wasiongeze 'jinsi ya kuwa uchi zaidi'. lakini nadhani hata kwenye maandiko imo kuwa kama jicho linakusumbua ling'oe/ling'ofoe. wasiotaka wasiangalie.
Chungulia kidogo eti, hahahahahah
Basata ni kama chama cha siasa, je wanachawa wote wakikosea wakafukuzwa uanachama itakuwaje? Thats na chama kinakufa. So basata haiwezi kupoteza "kula yake"
yasinta -:)
Post a Comment