Tuesday, November 10, 2009

POLE SANA DADA JACKLINE CHARLES!

nilijiuliza kwa muda alipo mdogo wangu mpenzi jackline charles na leo kanambia alipata mkasa wa kuvamiwa na majambazi, na kujeruhiwa. pole sana dada, nashukuru waendelea vema, MUNGU akujaalie nafuu urejee kazini na bloguni pia, POLE SANA MDAU. msalimie hapa http://jacklinecharles.blogspot.com/

2 comments:

Yasinta Ngonyani said...

Ohh! Pole sana dada Jackline kwa mkasa huo. Twashukuru kuwa Mungu yupo nawe na twakutakie upone haraka kwani twakutamani dadatu. Nakuombea.

twenty 4 seven said...

pole sana sista...