Thursday, October 28, 2010

HAYA WADAU MPANGO UKO HIVI!


Picha mbili zinazoonyesha matangazo ya wanamuziki wawili na ziara zao jijini paris, tayari washabiki wa damu wa muziki wa Congo wameanza kutupa maoni yao juu ya ushindani usoisha wa wakali hawa wa Congo wakiufananisha upinzani wao na ule wa jb mpiana na werrason, haya mdau nimerudi mzigoni kaa nami ujue nini kitatokea huko paris wakati hapa bongo sie mwezi ujao tutamwona live fally ipupa kwa mara ya pili kama mwanamuziki wa kujitegemea.

No comments: