Tuesday, September 1, 2009

DID YOU MISS ME?

Haikuwa rahisi hata kidogo kuwa mbali na desk langu la kazi kwa kitambo japo nilikua kazini nje ya kituo cha kazi, najisikia furaha na raha kurejea jamvini na kuungana na wadau kwa mara nyigine tena! haya sasa libeneke lianze rasmi.

3 comments:

Julie Dollie said...

Haya baba karibu kazini mungu akupe nguvu usije ishia njiani mpnz maana kazi ya kublogua sio rahisi kiivyo.

Nakutakia afya njema na aru ya kutupa raha kutoka pande hizo za Iringa

Mzee wa Changamoto said...

Karibu tena Kaka.
PamoJAH daima

DINA MARIOS said...

ULIKUWA WAPI WEE MTOTO??/